Mbunge atoa msaada kituo cha watoto yatima cha Light in Africa

Mmiliki wa kituo cha watoto yatima na wenye uhitaji maalum, cha Light in Africa cha Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro, Lynn Elliott akimpa mkono mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Manyara, Ester Mahawe, baada ya kupokea msaada wa vyakula na vifaa vya shule. 

Mbunge wa viti maalum wa Mkoa wa Manyara,  Ester Mahawe (kulia) akimpa mkono wa pongezi mtumishi wa huduma ya Upendo wa Yesu ya Njiro jijini Arusha, Rachel Mmasi aliyetoa sh500,000 za msaada wa watoto yatima wa kituo cha Light in Africa cha Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro.

Picha na Joseph Lyimo, Sauti ya Mnyonge, Manyara

Comments

Popular posts from this blog

Wananchi wajenga wodi baada ya kuchoshwa na kujifungulia sakafuni

Sita wapotea katika mazingira tatanishi wilayani Wete

Jaji Mkuu Zanzibar awashukia mahakimu wanaonyanyasa watuhumiwa